.

.

.

.

.

KUJIUNGA NA PAGE YETU YA FB NA TWITTER BONYEZA HAPA >FACEBOOK<>TWITTER<

fwatilia kitabu hichi ndani ya maktaba yetu


www.makatabayetu.blogspot.com hii ndo maktaba ya sk network inayotoa nakala za kilele cha ubepari na tishio la ushoga...
hiki ni moja ya kipande cha kitabu hicho....karibu...


Nini tufanye?
Kwa haraka cha kufanya ni kuunda umoja na kudai mabadiliko ya dhati.
Kufufua azimio la arusha kwa nguvu zote.
Kufilisi wale wote waliotuibia rasilimali zetu na kuwafunga jela.
Kuunda mikataba mipya kwa wawekezaji wote nchi.
Je utajiuliza tutawezaje vyote hivi jibu ni rahisi tu, Umoja ni nguvu tukiwa wamoja tutaunda taifa jipya na lenye mavuno bora zaidi(katiba mpya)

Afrika

Katika kipindi chote hiki tunapo shuhudia mabadiliko makubwa katika bara la afrika ni kwa sababu ya kuchoka kwa wananchi ugandamizwaji unaofanywa na walowezi na waafrika wenzetu wasio na nia njema wanakula keki ya taifa wachache na kutuacha maelfu tukifa kwa utapiamlo.
Makundi ya wanyonge walalamika na kudai mabadiliko ya dhati kutoka kwa viongozi wao lakini yalishindikana kwa kuwa ubinafsi hujengwa na roho na ni ngumu sana kubadilisha roho ya mtu.
Ardhi ya babu na bibi yangu Africa ilishuhudia damu ikimwagika mnyonge akipigwa bom na ili afe.ubinafsi huondoa uti ubepari haudhani roho ya myonge.
Mabepari wakauwa ndugu zetu wakawachimbia chini na kuwazika.lakini wachache waliobaki walipata nguvu pindi walipokuwa wanaenda mazishini kuzika wenzao na wakaamua wafie nchi kwao.
Mungu awalaze mahala pema peponi wanyonge wote waliofia mataifa yao wakipinga ubepari.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...